Mkongwe Chuji amesaini Ndanda FC.


Aliyewahi kuwa kiungo wa Yanga Athumani Idd Chuji amejiunga na Ndanda FC ya Mtwara kwa mkataba wa mwaka mmoja.

Hivi karibuni Chuji alionekana akiitumikia timu ya Faru Jeuri pamoja na mkongwe Haruna Moshi 'Boban' kwenye michuano ya Ndondo Cup.

Comments