Ranieri amefikia uamuzi huo ili kuinua timu yake ambayo itakua na kibarua cha kutetea ubingwa wa EPL pamoja na kufanya vizuri katika ligi ya mabingwa Ulaya.
Gazeti la nchini Uingereza limeeleza kuwa tayari kocha uyo yupo kwenye mipango ya kuwanasa wachezaji hao ambao wanafanya vizuri kwenye timu zao.
Yannick Bolasie na Troy Deeney ambaye ni nahodha katika timu ya Watford wamekuwa kwenye kiwango bora msimu huu jambo pekee linalomvutia Ranieri kuwasajili wachezaji hao.

Comments
Post a Comment