Klabu ya Makabe Veterans leo imeondoka kuelekea Moshi kufanya ziara yake ya kimichezo kwa siku mbili.
Makabe Veterani chini ya kocha wao Isack Kibanga itashuka dimbani kesho katika mchezo wa kujipima Nguvu dhidi ya TPC Moshi na timu ya Ushiriki ambao ndiyo wenyeji.
Viongozi na
wachezaji wa makabe veterans
Licha ya ziara hiyo ya kuelekea Moshi klabu hiyo
imewahi kufanya ziara zake mbalimbali katika mikoa tofauti ya Tanzania ikiwemo Morogoro, Arusha na Tanga
ikiwa na lengo kukuza uhusiano baina ya timu hiyo na veterans vingine Tanzania.
Isack Mwang’onda mwenye t-shirt ya pundamilia
ndiye mwenyekiti wa timu hiyo



Comments
Post a Comment