Kocha wa Yanga Hans Van Der Pluijm amesaini mkataba mpya wa miaka 2 wa kuendelea kuinoa timu hiyo.
Mafanikio aliyoyapata Pluijm yanaifanya Yanga
kumuongeza mkataba mpya kocha huyo
ambaye katika kipindi cha miaka miwili amepeleka neema kubwa Jangwani.
Mholanzi huyo ameiwezesha Yanga kutwaa kutwaa kombe
la ligi kuu mara mbili mfululizo, kombe la shirikisho 2015/16 na kuijengea
Yanga heshima kimataifa.

Comments
Post a Comment