Yanga kufanya mkutano wikiendi


Uongozi wa timu ya Yanga umewatangazia wanachama wake wote kuhudhuria mkutano mkuu utakaofanyika katika ukumbi wa Diamond Jubilee jumamosi ya wiki hii.

Mkutano huo ambao ajenda zake hazijawekwa wazi unatarajiwa kuanza saa tatu asubuhi katika ukumbi ambapo uongozi umemtaka kila mwanachama kuhudhuria.

Mbali  na taarifa ya mkutano pia barua hiyo iliyotolewa na katibu wa ya Yanga Baraka Deusdedit pia barua imeanisha kuwepo kwa mchezo wa kirafiki kati ya Yanga na mtibwa ambao utachezwa siku ya Agosti 8 mwaka katika uwanja wa taifa majira ya saa kumi jioni.

Comments