Azam wafanya kweli mazoezini, kesho dimbani kuivaa Prisons

Golikpa Aishi Manura akifanya mazoezi

Timu ya Azam inaendelea vizuri na mazoezi jijini Mbeya ikijiandaa na mchezo wa ligi kuu dhidi ya Prisons utakaochezwa kesho katika uwanja wa Sokoine.

Azam iliwapokea nyota wengine jana akiwemo golikipa Aishi Manula, Mwantika pamoja na Shomari Kapombe ambao wameungana na wenzao mazoezini.

Kocha wa Azam na msaidizi wake wakifuatilia mazoezi kwa makini

Comments