Kocha wa Manchester city Pep Gurdiola ameshindwa kutamba mbele ya Brendan Rodgers ambaye ndiye kocha wa sasa wa Celtic baada ya kutoka sare ya kufungana mabao 3-3.
Bao za Celtic zilifungwa na mshambuliaji mahili Dembele aliyefunga mara 2 na lingine alijfunga Raheem Sterling huku kwa upande wa city magoli yao yakizamishwa wavuni na Raheem Sterling, Fernandinho na Nolito.
Dembele akishangilia moja ya bao alilofunga
Bao za Celtic zilifungwa na mshambuliaji mahili Dembele aliyefunga mara 2 na lingine alijfunga Raheem Sterling huku kwa upande wa city magoli yao yakizamishwa wavuni na Raheem Sterling, Fernandinho na Nolito.
Nolito akishangilia baada ya kuchomoa bao la 3
Kwa upande wa matokeo ya kundi hilo Barcelona ilitoka kifua mbele na pointi 3 baada ya kuifunga Borrusia Moenchenglabacch bao 2-1 nchini Ujermani.



Comments
Post a Comment