hizi ndizo mechi za leo Ligi kuu Vodacom (VPL)


Leo ni Jumamosi ni ya tarehe 10, mechi mbali za ligi kuu Vodacom zitakuwa zikichezwa katika viwanja tofauti kama ifuatavyo

Mwadui FC v Stand United (mwadui Complex, Shinyanga)

Mbeya City v Azam FC  (Sokoine, Mbeya)

Young Africans v Majimaji (Uhuru, Dar es Salaam)

African Lyon v Mbao FC (Karume, Dar es Salaam)

Pia mechi za ligi kuu zitaendelea kesho siku ya jumapili ambapo Simba itaikaribisha Mtibwa Sugar kwenye uwanja wa Uhuru.

Comments