Majimaji imepata ushindi wa kwanza ugenini ikiwa ni siku chache tangu kutua kwa Kally Ongala kwenye timu hiyo na kuweza kupata ushindi wake kwanza dhidi ya Mbao FC katika uwanja wa Majimaji Songea.
Kally, ambaye amewahi kuwa kwenye benchi la ufundi Azam FC ameonesha uzoefu wake katika kikosi cha Majimaji baada ya kupatiwa nafasi ya kuindoa timu hiyo kwenye ramani mbovu hii ikiwa ni mara ya pili.
Licha ya Toto Africans kuanza kupata bao la kuongoza kwenye mechi hiyo lakini Majimaji iliweza kuchomoa bao hilo na kupata lingine la ushindi.
Kally Ongala amefanikiwa kukusanya jumla ya pointi 6 katika mechi nne tangu alipoichukua Majimaji mwezi Septemba mwaka huu.

Comments
Post a Comment