Ligi daraja la kwanza yashika kasi, cheki za mechi za leo hizi Hapa


Mbali na upinzan mkali unaoendelea kwenye ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara, pia ligi ya Startimes (ligi daraja la kwanza) imeshika kasi ambapo mechi zifuatazo zitachezwa katika viwanja tofauti.

Kundi A

Pamba v Polisi Dar (CCM Kirumba, Mwanza)
Africans Sports v Kiluvya (Mkwakwani, Tanga)

Kundi B

Kuregenzi ya Iringa v Coastal Union (Mufindi, Iringa)

Kundi C

Mvuvumwa v Singida utd (Kigoma)
Panoni v Alliance
Polisi Dodoma v Polisi Mara
Rhino v Mgambo JKT (Tanga)

Comments