Taarifa Rasmi kutoka TFF zimethibitisha kuwa Serengeti Boys ilikubali kichapo katika dakika za nyongeza ambapo Congo Brazaville walipata ushindi bao hilo kunako na dakika ya 92 kabla ya kumalizika kwa mpira.
Kwa matokeo hayo ni wazi kuwa Serengeti boys hawajafuzu fainali hizo kama ambavyo taarifa zilithibitisha hapo awali.

Comments
Post a Comment