Antony Joshua mi sio Mdogo wa Mtu


Bingwa wa uzito wa juu wa IBF aliyeshinda mara (18-0) amekataa kuitwa mdogo wa Klitschko kuelekea pambano lao la April 29.

Klitschko, 40, alimuita Joshua ‘rafiki’ na akaelezea muda waliokaa wote kipindi cha nyuma kweny kambi ya mazoezi, kama kaka na mdogo wake’
Amekuwa akiniita hivyo tangu siku ambazo tusingeweza kupigana’ sasa hapa ndio heshima inakuja. Kama ningejifanya mkubwa, hningekuwa ni mimi nakujiamini.
“ananiita mdogo wake lakini nikimpiga ndani ya raundi, itakuwa haina maana, si ndio?
Kama Wlad atashinda , atajisemea mwenyewe  Mimi ni kaka Mkubwa! Lakini mikimshinda atajua mambo yamebadilika na ni muhula tofauti, huu ni utawala mwingine wa Bingwa uanayechipuka na kuja"


Comments