Kocha wa Manchester city Pep Gurdiola jana alikuwa hoi hali iliyopekelea kukuna kichwa chake mara kadhaa baada ya kupokea kichapo cha bao 4-2 kutoka kwa
Leicester city.
Katika mechi hiyo Strika wa England Jamie Vardy alifunga Hat trick kwa Mara ya kwanza msimu huu na lingine lilifungwa na Andy king.


Comments
Post a Comment