Exclusive: Azam yawatimua makocha wake


Uongozi wa Azam umemwondoa kocha wake Zeben Hernandez pamoja na benchi lake la ufundi.

Azam imefikia hatua hiyo kutokana mwendelezo wa matokeo mabovu kwenye timu hiyo.

Azam haijapata pointi 3 tangu kuanza kwa kwa raundi ya pili ya ligi kuu ambapo ilitoka sare na African Lyon pamoja Majimaji.

Azam imesema kuwa itatangaza jina la kocha mpya hapo baadae.

Comments