Giroud aninyanyua Arsenal Posted by eskaone blog on December 27, 2016 Get link Facebook X Pinterest Email Other Apps Mshambuliaji wa Arsenal Oliver Giroud ameibuka shujaa baada ya kuinyanyua Arsenal dhidi ya West Brom. Giroud alifunga bao pekee la ushindi kwenye dakika ya 85 baada ya kupokea pasi maridadi kutoka kwa Mesut Ozil. Comments
Comments
Post a Comment