Licha ya mshambuliaji wa Algeria Islam Sliman kutupia bao mbili lakini timu ya Algeria imeaga mashindano rasmi.
Algeria ilitoshana nguvu na Senegal baada ya kulazimishwa sare ya bao 2-2 katika mchezo wa kufunga kundi apo Jana.
Senegal ndiye aliyeongoza kundi hilo baada ya kukusanya jumla ya pointi 7, akifuatiwa na Tunisia yenye pointi 6, Algeria pointi 2 na Zimbabwe ikiwa imevuna pointi 1.
Senegal pamoja na Tunisia zimefuzu kwenye hatua ya robo fainali.

Comments
Post a Comment