Liverpool yatoa gundu 2017, yaichapa Spurs 2-0


Timu ya Liverpool kwa mara ya kwanza imeondoka na pointi 3, baada ya kuichapa Tottenham bao 2-0 tangu kuanza kwa mwaka 2017.

Mshambulaliaji wa kimataifa wa Senegal Sadio Mane ameonesha kuwa alikuwa pengo kwenye timu hiyo baada ya kutupia bao zote 2 katika ushindi huo.

Liverpool imesonga hadi nafasi ya nne kwenye msimamo wa ligi ya EPL ikiwa na pointi 49 juu ya Manchester city yenye mchezo mkononi dhidi ya Bournemouth.

Comments