Prisons yaichomoa Mbeya city kwa matuta


Timu ya jeshi la magareza, Tanzania Prisons imetinga kwenye robo fainali ya kombe la FA baada ya kuichomoa Mbeya sita kwa jumla ya penati 4-2.

Timu zote zilitoshana nguvu hadi dakika 90 za mchezo na matokeo yalikuwa 1-1, hivyo kuingia kwenye hatua ya matuta.

Comments