Lallana kuikosa Everton Posted by eskaone blog on March 29, 2017 Get link Facebook X Pinterest Email Other Apps Kiungo mshambuliaji wa Liverpool Adam Lallana atakosa mchezo wa upinzani dhidi ya Everton jumamosi ya wiki hii. Lallana atakaa nje kwa muda wa wiki nne baada ya kuumia goti katika mechi ambao England ilishinda bao 2-0 dhidi Lithuania. Comments
Comments
Post a Comment