Hivi ndivyo Pluijm alivyosaini Singida utd. Posted by eskaone blog on March 17, 2017 Get link Facebook X Pinterest Email Other Apps Aliyewahi kuwa kocha wa Yanga Hans Pluijm sasa ni mali ya Singida United baada ya kusaini miaka 2. Singida Utd imejipanga kufanya vizuri kwenye ligi kuu Tanzania Bara baada ya kumsajili kinda wa Zimbabwe Tafadwaza Kitinyu ambaye ni kiungo. Comments
Comments
Post a Comment