Samatta aifungia Genk, ikiitwanga Club Brugge bao 2-1.


Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania Mbwana Samatta ameifungia KRC Genk bao la kwanza katika ushindi wa bao 2-1 dhidi ya Club Brugge.

Samatta alifungua ukurasa wa mabao na kutupia nyavuni bao la kuongoza katika dakika ya 5 ya mechi huyo.

Hadi dakika 90 zinamilizika KRC Genk ikiwa nyumbani iliweza kuzoa pointi tatu kutokana na bao la utangulizi la Mbwana Samatta.

Comments