Zikiwa zimesalia siku nne kabla ya Pambano la Azam na Swallows viingilio na malipo ya kuiona mechi hiyo live vyatajwa.
Bei kwa viti vya mzungo ni shilingi 3000, wakati VIP B italipiwa kwa gharama ya shilingi 5000 na VIP A italipiwa kwa gharama ya shilingi 10000 kupitia huduma za selcom.
Mchezo itacheza mchezo huo wa kimataifa majira za saa 1.15 ya usiku katika dimba la Azam Complex Chamanzi.

Comments
Post a Comment