Nani atakuwa kocha bora wa msimu EPL?


Antonio Conte na Mauricio Pochettino ni moja ya makocha wanaofanya vizuri kwa sasa ligi kuu England. 

Chelsea chini ya Antonio Conte ndiyo inayoongoza kwenye msimamo wa ligi kuu England kwa tofauti ya pointi 7 dhidi ya Tottenham inayonolewa na Mauricio Pochettino.

Wachambuzi tofauti katika Skysports wamependekeza ni nani ambaye anastahili kuwa Kocha bora wasimu kati ya hawa

Graeme Souness- Antonio Conte

Thiery Henry- Antonio Conte

Jamie Carragher- Antonio Conte

Niall Quinn- Antonio Conte

Gary Neville- Mauricio Pochettino

Alan Smith- Antonio Conte

Dalili zinaonesha kuwa Antonio Conte wa Chelsea ana nafasi kubwa ya kushinda kwenye kinyang'anyiro hicho.

Comments