Sanchez aipeleka Arsenal Fainali.


Hatimaye Chelsea itakutana na Arsenal Mei 27 mwaka huu katika mchezo  wa fainali wa wa kombe la FA baada ya kuichomoa Manchester city kwa ushindi wa bao 2-1.

Manchester city ilipata bao la kuongoza kupitia Sergio Aguero lakini Arsenal ilichomoa bao kupitia mlinzi wake Nacho Monreal.

Hadi dakika 90 zinamalizika matokeo yalikuwa sare ya bao 1-1 kwa moja ambapo katika dakika za nyongeza Sanchez aliipatia Arsenal bao la ushindi.

Comments