Arsenal imenyakua ubingwa wa kombe la FA. Posted by eskaone blog on May 27, 2017 Get link Facebook X Pinterest Email Other Apps Timu ya Arsena imeondoka na taji la kombe la FA msimu baada ya kuichapa Chelsea kipigo cha mabao 2-1. Arsenal ilipata mabao ushindi kupitia Alexis Sanchez na Aaron Ramsey lakini upande wa Chelsea Diego Costa alifunga bao pekee la kufutia machozi. Comments
Comments
Post a Comment