Chirwa aisambaratisha Mbeya city.


May 13, 2017

Yanga imeonekana kuwa haishikiki msimu huu na kurejea kileleni baada ya kuichapa Mbeya city bao 2-1.

Mshambuliaji wa Yanga Obrey Chirwa ndiye aliyeinyanyua timu hiyo baada ya kutupia bao la ushindi katika dakika ya 64 ya mchezo huo.

Yanga itamaliza na Toto Africa katika uwanja wa Taifa na kisha Mbao FC CCM Kirumba katika michezo miwili ya mwisho iliyobaki.

Comments