Cr7 apiga Hat trick, Atletico ikifa 3-0.

Mei 3, 2017

Mshambuliaji nyota wa Real Madrid Christiano Ronaldo amefunga Hat trick na kuingoza timu hiyo kuondoka na ushindi wa bao 3-0 katika uwanja wa Santiago Bernabeu.

Ronaldo alifunga bao hizo katika dakika ya 10, 73 na 86 na kuitengenezea nafasi nzuri Real Madrid kuchungulia mlango wa fainali UCL.

Comments