Huddersfield yaifata Newcastle, Brighton EPL. Posted by eskaone blog on May 30, 2017 Get link Facebook X Pinterest Email Other Apps Timu ya Huddersfield town imeungana na Newcastle pamoja Brighton Hove and Albion ligi kuu baada ya kuichomoa Reading kwa mikwaju ya penati 4-3 katika mchezo ulipigwa katika dimba la Wembley hapo Jana. Comments
Comments
Post a Comment