Man Utd yatwaa taji la Europa ligi, yaingia Champions ligi kiulaini


May 25, 2017

Timu ya Manchester United imejihakikishia nafasi ya kushiriki ligi mabingwa baada ya kutwaa taji la Europa ligi hapo jana baada ya kuichapa Ajax bao 2-0.

Man utd inaungana na Chelsea, Tottenham na Man city ambazo tayari zimejihakikishia nafasi ya kushiriki ligi mabingwa barani Ulaya.

Comments