Simba yatoa mchezaji bora wa msimu VPL.


May 25, 2017

Beki wa Simba SC Mohamed Hussein 'Zimbwe' ndiye aliyeibuka mshindi katika kinyang'anyiro cha kuwania tuzo ya mchezaji bora katika msimu wa ligi kuu 2016/17.

Zimbwe ametwaa tuzo hiyo baada ya kuwapiga chini golikipa wa Azam Aishi Manula na winga mwenye kasi katika klabu ya Yanga Simon Msuva.

Comments