Huyu ndiye mrithi wa Aishi Manula Azam.


Baada ya Aishi Manula kusaini Simba hatimaye Azam yajibu mapigo na kumsajili Benedict Haule kutoka Mbao FC.

Benedict Haule amesaini miaka 2 katika timu ya Azam FC mbele meneja mkuu wa timu hiyo Abdul Mohammed.

Awali golikipa huyo alikuwepo katika timu ya Azam na sasa amerejea amerejea nyumbani kwa mara nyingine.

Comments