Man city yakamilisha usajili mwingine.


Manchester city imekamilisha usajili wa pili baada ya kumnasa golikipa wa Benifica Ederson Moraes kwa dau la uhamisho wa £34.5 milioni.

City imeamua kuondokana rasmi na tatizo la golikipa katika kikosi hicho kwa kuinasa saini ya Mbrazili huyo ambaye amesaini miaka 6.

Comments