Mkude aongeza miaka 2 Simba.


Nahodha wa Simba Jonas Mkude ameongeza miaka miwili ndani ya timu hiyo baada ya kusaini mkataba mpya.

Mkude alikuwa akihusishwa kujiunga na klabu ya Yanga kama ilivyokuwa Ibrahim Ajib ambaye tayari amefanya hivyo baada ya kusaini miaka 2 Jangwani.


Comments