Ngoma aipotezea Simba, asini Yanga miaka 2. Posted by eskaone blog on June 28, 2017 Get link Facebook X Pinterest Email Other Apps Mshambuliaji wa kimataifa wa Zimbabwe amevunja rasmi ndoto za Simba SC ya kusaini Yanga miaka 2. Ngoma amefanya hivyo mapema leo ikiwa imepita siku moja tangu alipotua Tanzania akitokea nchini Zimbabwe alipokuwa kwenye mapumziko mafupi. Comments
Comments
Post a Comment