Tambwe ajifunga tena Yanga. Posted by eskaone blog on June 30, 2017 Get link Facebook X Pinterest Email Other Apps Mshambuliaji wa Yanga SC Amis Tambwe ataendelea kuitumikia klabu hiyo baada ya kusaini mkataba mpya utakaomuweka Jangwani kwa miaka 2. Tambwe ameungana na Donald Ngoma ambaye alisaini mkataba mpya wa kuitumikia Yanga siku mbili zilizopita. Comments
Comments
Post a Comment