Barthez wa Yanga ametua Singida Utd Posted by eskaone blog on July 19, 2017 Get link Facebook X Pinterest Email Other Apps Aliyekuwa golikipa wa Yanga Ally Mustaafa maarufu kama Barthez ameachana na Yanga na kujiunga na Singida United. Golikipa huyo amesaini miaka miwili ya kuitumikia klabu hiyo ambayo itashiriki ligi kuu ya VPL katika ligi itakayoanza. Comments
Comments
Post a Comment