Dilunga sasa ni mali ya Mtibwa Sugar. Posted by eskaone blog on July 24, 2017 Get link Facebook X Pinterest Email Other Apps Aliyewahi kuwa kiungo wa Yanga Hassan Dilunga amejiunga na Mtibwa Sugar kwa mkataba wa miaka 2. Dillunga ameachana na JKT Ruvu ambayo ilishuka daraja na ataonekana katika uzi wa Mtibwa Sugar katika msimu mpya wa ligi ya Vodacom. Comments
Comments
Post a Comment