Dogo Bradley Lowery shabiki damu wa Sunderland afariki dunia.


Habari ya kusikitisha nchini England ni msiba wa mtoto aliyekuwa shabiki wa damu wa timu ya Sunderland Bradley Lowery.



Bradley amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 6 na amekuwa akiungua ugonjwa wa Kansas tangu mwaka 2013.

Kwa niaba ya blog hii na waombelezaji wote duniani tunathubutu kusema tutukukumbuka Bradley, pumzika kwa amani.

Comments