DONE DEALS: Danilo amesaini City. Posted by eskaone blog on July 23, 2017 Get link Facebook X Pinterest Email Other Apps Beki wa kimataifa wa Brazil Danilo amejiunga na Manchester city kwa mkataba wa miaka 5. Danilo 26, aliwahi kuzichezea timu za Atletico Mineiro na Santos akiwa nchini Brazil, baadae alijunga na Porto kabla ya kusajiliwa na Real Madrid mwaka 2015. Comments
Comments
Post a Comment