DONE DEALS: Matic amesain Man Utd.


Manchester United imetangaza rasmi kuwa imekamilisha usajili wa kiungo Nemanja Matic kutoka Chelsea.

Matic Mwenye miaka 28 amesaini mkataba wa miaka mitatu kwa ada ya uhamisho wa £40 milioni.

Raia huyo wa Serbia amekuwa mchezaji wa tatu kusaliwa na Manchester United baada ya ule wa Victor Lindelof kutoka Benifica na Romelu Lukaku Everton.

Comments