Msuva alivyotambulishwa Al Jadida. Posted by eskaone blog on July 29, 2017 Get link Facebook X Pinterest Email Other Apps Winga mwenye kasi Tanzania Simon Msuva jana alitambulishwa rasmi kwenye klabu yake mpya ya Difaa Al Jadida. Msuva amemaliza siku nne tangu alipoondoka nchini kumalizana na timu hiyo ya Morocco. Comments
Comments
Post a Comment