Aliyekuwa nahodha wa timu ya Ndanda FC ya Mtwara Kigi Makasi amesaini mkataba kuitumikia Singida United.
Kigi amekuwa mchezaji wa mwisho kufunga usajili wa klabu hiyo kwa mwaka 2017/18 ambacho kinanolewa na Mholanzi Hans Pluijm.
Pia mchezaji huyo amewahi kuitumikia Klabu ya Yanga ambao ni mabingwa wa ligi kuu mara tatu mfululizo.

Comments
Post a Comment