wachezaji waliosajiliwa na kuuzwa EPL.


Dirisha kubwa la usajili hufunguliwa kila mwaka kuanzia Juni 9 hadi Agosti 31 na wachezaji mbali mbali wamekuwa wakisajiliwa na wengine kuuzwa au kuachwa na timu zao. Ifuatayo ni orodha ya wachezaji ambao waeingia na kutoka kwenye ligi ya England.

ARSENAL

waliosajiliwa 

Alexandre Lacazatte-Lyon, hakuna ada rasmi

Sead Kolasinac-Schalke, huru

Walioondoka

Yaya Sanogo-ameachwa

Stefan O'Connor-ameachwa

Kristopher De Graca-ameachwa

Kostas Pileas-ameachwa

Takuma Asano-Stuttgart, mkopo

Wojciech Szczesny-Juventus, pauni 14 milioni

BOURNEMOUTH

Waliosajiliwa 

Asmir Begovic-Chelsea, gharama haijawekwa wazi

Jermaine Defoe-Sunderland, huru

Nathan Ake-Chelsea, pauni 20 milioni.

Walioondoka

Callum Backley-ameachwa

BRIGHTON

Pascal Gross-Ingostadt, ada haijawekwa wazi

Josh Kerr-Celtic ada haijawekwa wazi

Mathew Ryan-Valencia, ada haijawekwa wazi

BURNLEY

Waliosajiliwa 

Jon Walters-Stoke City, ada hajawekwa wazi

Jack Cork-Swansea, ada haijawekwa wazi

Charlie Taylor-Leeds, majaribio

Waliouzwa

Michael Kean-Everton, pauni 30 milioni

Joe Barton-ameachwa

CHELSEA

Waliosajiliwa 

Alvaro Morata-Real Madrid, pauni 70 Milioni.

Willy Caballero-Man city, huru

Antonio Rudiger-Roma, pauni 34 milioni

Tiemoue Bakayoko-Monaco, pauni 40 milioni.

Walioondoka 

Juan Cuadrado-Juventus, pauni 17.3 milioni

Christian Atsu-Newcastle, pauni 6 milioni

Asmir Begovic-Bouremouth, ada haijawekwa wazi

Dominic Solanke-Liverpool, Huru

John Terry-Aston Villa, huru

Nathan Ake-Bournemouth, pauni 20 milion

Bertrand Traore-Lyon, pauni 8.8milioni

CRYSTAL PALACE

Waliosajiliwa

Ruben Loftus-Cheek-Chelsea, mkopo

Jairo Riedwald-Ajax, ada haijawekwa wazi

Walioondoka

Steven Mandanda-Mersaille, ada haijawekwa wazi

EVERTON

Waliosajiliwa

Wayne Rooney-Man Utd, ada haijawekwa wazi

Jordan Pickford-Sunderland, pauni 30 milioni

Davy Klaassen-Ajax, pauni 23.6 milioni

Sandro Ramirez-Malaga, pauni 5.25 milioni

Cuco Martina-Southampton, huru

Walioondoka

Romelu Lukaku-pauni 90 milioni

Tom Cleverly-Watford, ada haijawekwa wazi

Arouna Cone-Sivasspor, huru

Gerard Deulofeu-Barcelona, pauni 10 milioni

HUDDERSFIELD

Walisajiliwa

Aaron Mooy-Man city, pauni 8 milioni

Tom Ince-Derby County, pauni 10 milioni

LEICESTER CITY

Waliosajiliwa

Harry Maguire-Hull city, pauni 17 milioni

Sam Hughes-Chester, ada haijawekwa wazi

Vicente Iborra-Sevilla, pauni 12 milioni

Eldin Jakupovic-Hull City, ada haijawekwa wazi

Walioondoka

Ron-Robert Zieler-Stuttgart, ada haijawekwa wazi

LIVERPOOL

Waliosajiliwa 

Domic Solanke-Chelsea, huru

Mohamed Salah-Roma, pauni 34.3 milioni

Andy Robertson-Hull City, pauni 10 milioni

Walioondoka

Andre Wisdom-Derby, ada haijawekwa wazi

Kevin Stewart-Hull city, ada haijawekwa wazi

MANCHESTER CITY

Waliosajiliwa 

Benjamin Mendy-Monaco, pauni 49.2 milioni

Danilo-Real Madrid, pauni 26.9 milioni

Bernado Silva-Monaco, pauni 43 milioni

Ederson-Benifica, pauni 34.7 milioni

Kyle Walker-Tottenham, Pauni 50 milioni

Douglas Luiz-Vasco da Gama, ada haijawekwa wazi

Walioondoka

Pablo Zabaleta-West Ham, huru

Gael Clichy-Instanbul Bakaksehir

Jesus Navas-ameachwa

Willy Caballero-Chelsea, huru

Bacary Sagna-ameachwa

Nolito-Sevilla, pauni, ada haijawekwa wazi.

Joe Hart-West Ham, huru

MANCHESTER UNITED

Waliosajiliwa

Victor Lindelof-Benifica, pauni 30.7 milioni

Romelu Lukaku-Everton, Pauni 90 milioni

Walioondoka

Zlatan Ibrahimovic-ameachwa

Wayne Rooney-Everton, ada haijawekwa wazi

Adnan Januzaj-Real Sociedad, ada haijawekwa wazi

NEWCASTLE

Waliosajiliwa 

Christian  Atsu-Chelsea, pauni 6.3 milioni.

Florian Lejeune-Eibar, pauni 8.6 milioni.

Jacob Murphy-Norwich, Pauni 12 milioni

Javier Manquillo-Atletico Madrid.

Walioondoka 

Florian Thauvin-Mersaille, 9.8 milioni.

Yoan Gouffran-Goztepe, huru

Sammy Ameobi-Bolton, huru.

SOUTHAMPTON

Waliosajiliwa

Jan Bednarek, Lech Poznan,

Walioondoka 

Jay Rodriquez-West Brom

Cuco Martina-Everton

STOKE CITY

Waliosajiliwa 

Darren Fletcher, West Brom, Huru

Josh Tymon

Walioondoka

Jon Walters-Burnely

Shay Given-ameachwa

Glenn Whelan-Aston Villa

Marko Arnautovc-West Ham

SWANSEA

Waliosajiliwa 

Roque Mesa-Las Palmas, pauni 11 milioni.

Walioondoka

Jack Cork-Burnely

TOTTENHAM

hakuna aliyesajiliwa

Walioondoka

Kyle Walker-Man city, pauni 50 milioni

WATFORD

Waliosajiliwa 

Tom Cleverly-Everton

Walioondoka

Mario Suarez-Guizhou Hengfeng Zhicheng FC

WEST HAM

Waliosajiliwa

Pablo Zabaleta-Man city, huru

Joe Hart-Man city, mkopo.

Marko Arnautovic-Stoke city, pauni 25 milioni

Javier Hernandez-Bayer Leverkusen, pauni 16 milioni.

Walioondoka

Darren Randolph-Middlesbrough

Reece Oxford-Borrusia Monchengladbach, mkopo

Alvaro Arbeloa-amestaafu

Enner Valencia-Tigres

Comments