Washambuliaji waliotua Chelsea kwa Pesa Ndefu.


Mapema leo Alvaro Morata amefuzu vipimo kujiunga na Chelsea, raia Huyo wa Hispania ataigharimu timu hiyo kiasi cha £60 milioni na kuongoza kwenye orodha ya washambuliaji wenye gharama zaidi Chelsea.

Mbali na Morata pia washambuliaji wafuatao wanafata kwenye orodha hii

Fernando Torres (£50 milioni) kutoka Liverpool, England.

Andry Shevishenko (£39 milioni) kutoka AC Milan, Italy.

Mitchy Batshuay (£33 milioni) kutoka Mersaille, Ufaransa.

Comments