Mshike mshike wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara ndiyo unaanza rasmi siku ya leo kutakuwa na baadhi ya mechi kwenye viwanja tofauti. Eskaone blog inakuletea ratiba kama ifuatavyo leo Agosti 26.
Simba vs Ruvu Shooting, Benjamini mkapa Stadium
Kagera vs Mbao FC, Kaitaba
Mbeya City vs Majimaji, Sokoine Stadium
Mwadui vs Singida Utd, Mwadui Complex
Mtibwa Sugar vs Stand Utd, Manungu
Njombe Mji vs Tanzania Prisons, Njombe
Ndanda FC vs Azam, Nangwanda Sijaona
Agosti 27
Young Africans vs Lipuli FC.

Comments
Post a Comment