Ukiachana na Simba, tazama matokeo mengine ligi kuu.


Ligi kuu ya Vodacom jana ilianza kwa kasi ambapo mbali na Simba SC ambayo ilipata ushindi wa bao 7-0 dhidi ya Ruvu Shooting, haya matokeo ya mechi zingine pia.

Ndanda 0-1 Azam

Njombe 0-1 Prisons

Mwadui 2-1 Singida Utd

Mtibwa 0-0 Stand Utd

Mbeya city 1-0 Majimaji

Kagera 0-1 Mbao.

Comments